![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/K1PL_Berlin_2018-09-16_Male_Kumite_%25E2%2580%259360_kg_22.jpg/640px-K1PL_Berlin_2018-09-16_Male_Kumite_%25E2%2580%259360_kg_22.jpg&w=640&q=50)
Darkhan Assadilov
From Wikipedia, the free encyclopedia
Darkhan Assadilov (alizaliwa 8 Agosti 1987[1]) ni mwanamichezo wa karate kutoka nchini Kazakhstani . Alishinda miongoni mwa medali moja ya shaba kwa wenye uzito wa kilogramu 67 kwa wanaume, kwenye mashindano ya olimpiki ya majira ya joto huko Tokyo, Japan[2]. Mnamo mwaka 2010, alishinda medali ya dhahabu katika mashindano ya kumite kwa wanaume wenye uzito wa kilogramu 60 katika michezo iliyofanyika katika bara la Asia 2010 huko Guangzhou, China.
![Darkhan Assadilov (aliyevaa mkanda nyekundu) mnamo 2018](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/fc/K1PL_Berlin_2018-09-16_Male_Kumite_%E2%80%9360_kg_22.jpg/640px-K1PL_Berlin_2018-09-16_Male_Kumite_%E2%80%9360_kg_22.jpg)
Pia ni mshindi mara mbili wa medali katika michuano ya dunia ya Karate.