Tokyo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jiji la Tokyo (東京都) ni mji mkuu wa Japani. Takriban watu milioni 12 huishi katika jiji hilo ambao ni sawa 10% ya Wajapani wote. Rundiko la mji lina wakazi milioni 35 na ni rundiko kubwa duniani.
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Jiji la Tokyo | |||
| |||
Nchi | Japani | ||
---|---|---|---|
Kanda | Kantō | ||
Mkoa | Tokyo | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 12,976,698 | ||
Tovuti: www.tokyo.jp |
Funga
Tokyo ni kitovu cha Japani upande wa biashara, uchumi na siasa.
Mahali pa jiji ni tambarare ya Kanto kando ya hori ya Tokyo.