Cleveland, Ohio
From Wikipedia, the free encyclopedia
Cleveland ni mji wa Marekani katika jimbo la Ohio. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao milioni 2.2 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 199 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Jiji la Cleveland | |||
| |||
Mahali pa mji wa katika Marekani |
|||
Majiranukta: 41°28′56″N 81°40′11″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Ohio | ||
Wilaya | Cuyahoga | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 478,403 | ||
Tovuti: www.city.cleveland.oh.us |
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Cleveland, Ohio kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.