From Wikipedia, the free encyclopedia
Anchorage ni mji wa Marekani katika jimbo la Alaska. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 286,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 31 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 1961.1 km².
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Anchorage, Alaska kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Anchorage | |||
| |||
Mahali pa mji wa Anchorage katika Marekani |
|||
Majiranukta: 61°13′06″N 149°53′57″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Alaska | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 374,553 | ||
Tovuti: http://www.muni.org/ |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.