ANC
From Wikipedia, the free encyclopedia
African National Congress, kwa kifupi "ANC", ni chama cha kisiasa kinachotawala nchini Afrika Kusini. Mwenyekiti wake tangu Desemba 2017 ni Cyril Ramaphosa aliyemshinda mtangulizi wake Jacob Zuma ambaye alikuwa rais wa Afrika Kusini hadi 2018.