From Wikipedia, the free encyclopedia
Yohane Yosefu wa Msalaba (Ischia, 15 Agosti 1654 - Napoli, 5 Machi 1734) alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo Pekupeku kutoka Italia aliyependa sana ufukara hata akavaa kanzu ileile miaka 64 akaitwa "padri virakamia".
Akifuata nyayo za Petro wa Alcantara, alirekebisha konventi nyingi za Wafransisko wa mkoa wake.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Kwanza alitangazwa mwenye heri mwaka 1789, halafu mtakatifu mwaka 1839 na Papa Gregori XVI.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.