Susan Limbweni Kiwanga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Susan Limbweni Kiwanga ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mlimba kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.