Stefano wa Nisea

From Wikipedia, the free encyclopedia

Stefano wa Nisea

Stefano wa Nisea (alifariki Reggio Calabria, Italia, 78 BK) anakumbukwa kama askofu wa kwanza wa mji huo wa Calabria (Italia Kusini) kuanzia mwaka 61 hadi kifodini chake.

Thumb
Sanamu yake mbele ya kanisa kuu la Reggio Calabria.

Mfuasi wa Mtume Paulo, inasemekana alifika huko pamoja naye.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini[1].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Julai.[2]

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.