Selemani Moshi Kakoso
From Wikipedia, the free encyclopedia
Selemani Moshi Kakoso ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mpanda Vijijini kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.