Kozi ni ndege mbuai wadogo wa familia ya Falconidae.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kozi
Thumb
Kozi tembere
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Falconiformes (Ndege kama kozi)
Familia: Falconidae (Ndege walio na mnasaba na kozi)
Leach, 1820
Ngazi za chini

Nusufamilia 3, jenasi 11:

  • Caracarinae D'Orbigny, 1837
    • Caracara Merrem, 1826
    • Daptrius Vieillot, 1816
    • Ibycter Vieillot, 1816
    • Milvago Spix, 1824
    • Phalcoboenus Orbigny, 1834
    • Spiziapteryx Kaup, 1852
  • Falconinae Leach, 1820
  • Herpetotherinae Lesson, 1843
    • Herpetotheres Vieillot, 1817
    • Micrastur G.R. Gray, 1841
Funga

Wana mabawa membamba yaliyochongoka ambayo yanawapa uepesi na uwezo wa kubadilisha mwelekeo upesi. Kozi tembere, ndege wepesi kabisa duniani, wanaweza kufikia kasi ya kushuka ya zaidi ya km 300 kwa saa.

Kozi hula mawindo madogo kama ndege, panya, mijusi na wadudu. Spishi nyingine hutumika sana kwa uwindaji kwa ndege mbuai.

Jike hutaga mayai juu ya miamba, ndani ya mianya, juu ya tawi kubwa au ndani ya tago la ndege mwingine kama kunguru. Mara nyingi hawatumii vijiti au vitu vingine kujenga tago salihi.

Spishi za Afrika

Spishi za mabara mengine

Picha

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.