Peter Simon Msigwa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Peter Simon Msigwa Amezaliwa 8 Juni 1965 ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Iringa Mjini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.