Pascal Yohana Haonga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pascal Yohana Haonga (amezaliwa 8 Agosti 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbozi kwa miaka 20152020. [1]

Haonga ni kabila la kinyia ambalo hutokea Mbozi mkoa wa songwe.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.