Pascal Yohana Haonga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Pascal Yohana Haonga (amezaliwa 8 Agosti 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbozi kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Haonga ni kabila la kinyia ambalo hutokea Mbozi mkoa wa songwe.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.