Papua Guinea Mpya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Papua Guinea Mpya (Independen Stet bilong Papua Niugini) ni nchi karibu na Indonesia na Australia inayokalia upande wa mashariki wa kisiwa cha Guinea Mpya pamoja na visiwa vya kandokando.
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Unity in diversity | |||||
Wimbo wa taifa: O Arise, All You Sons[1] | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Port Moresby | ||||
Mji mkubwa nchini | Port Moresby | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza, Tok Pisin, Hiri Motu | ||||
Serikali | Ufalme wa Kikatiba Charles III wa Uingereza Sir Bob Dadae James Marape | ||||
Uhuru Madaraka ya kujitawala Uhuru |
1 Desemba 1973 16 Septemba 1975 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
462,840 km² (ya 54) 2 | ||||
Idadi ya watu - 2011 preliminary census kadirio - Msongamano wa watu |
7,059,653 (ya 102) 15/km² (ya 201) | ||||
Fedha | Kina (PGK ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
AEST (UTC+10) (UTC+10) | ||||
Intaneti TLD | .pg | ||||
Kodi ya simu | +675
- |


Nchi ni mwanachama wa Jumuia ya Madola. Mtawala ni Malkia Elizabeth II.
Mji mkuu ni Port Moresby.
Historia
Inakadiriwa kwamba watu wa kwanza walifika huko miaka 42,000-45,000 KK.[2]
Watu
Kati ya wakazi, wengi wanaishi katika mazingira asili,[3] ambayo kwa kiasi kikubwa hayajachunguzwa na wataalamu.[4]
Asilimia 18 tu wanaishi mijini.[5]
Nchini Papua Guinea Mpya kuna lugha za asili zaidi ya 800 (angalia orodha ya lugha za Papua Guinea Mpya).[6] Hiyo inaonyesha kwamba ni kati ya nchi zenye tofauti kubwa zaidi katika utamaduni.
Upande wa dini, Ukristo unafuatwa na 96% ya wakazi.[7] kati ya madhehebu, linaongoza Kanisa Katoliki (27.0%), likifuatwa na Walutheri (19.5%).
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.