Papua Guinea Mpya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papua Guinea Mpya

Papua Guinea Mpya (Independen Stet bilong Papua Niugini) ni nchi karibu na Indonesia na Australia inayokalia upande wa mashariki wa kisiwa cha Guinea Mpya pamoja na visiwa vya kandokando.

Ukweli wa haraka
'Papua Guinea Mpya'
Papua Niugini
The Independent State of Papua New Guinea
Thumb Thumb
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Unity in diversity
Wimbo wa taifa: O Arise, All You Sons[1]
Thumb
Mji mkuu Port Moresby
9°30 S 147°07 E
Mji mkubwa nchini Port Moresby
Lugha rasmi Kiingereza, Tok Pisin, Hiri Motu
Serikali
Mfalme
Gavana Mkuu
Waziri Mkuu
Ufalme wa Kikatiba
Charles III wa Uingereza
Sir Bob Dadae
James Marape
Uhuru
Madaraka ya kujitawala
Uhuru

1 Desemba 1973
16 Septemba 1975
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
462,840 km² (ya 54)
2
Idadi ya watu
 - 2011 preliminary census kadirio
 - Msongamano wa watu
 
7,059,653 (ya 102)
15/km² (ya 201)
Fedha Kina (PGK)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
AEST (UTC+10)
(UTC+10)
Intaneti TLD .pg
Kodi ya simu +675

-

Funga


Thumb
Ramani ya Papua Guinea Mpya
Thumb
Wanakijiji huko Kerepunu, British New Guinea, 1885.

Nchi ni mwanachama wa Jumuia ya Madola. Mtawala ni Malkia Elizabeth II.

Mji mkuu ni Port Moresby.

Historia

Inakadiriwa kwamba watu wa kwanza walifika huko miaka 42,000-45,000 KK.[2]

Watu

Kati ya wakazi, wengi wanaishi katika mazingira asili,[3] ambayo kwa kiasi kikubwa hayajachunguzwa na wataalamu.[4]

Asilimia 18 tu wanaishi mijini.[5]

Nchini Papua Guinea Mpya kuna lugha za asili zaidi ya 800 (angalia orodha ya lugha za Papua Guinea Mpya).[6] Hiyo inaonyesha kwamba ni kati ya nchi zenye tofauti kubwa zaidi katika utamaduni.

Upande wa dini, Ukristo unafuatwa na 96% ya wakazi.[7] kati ya madhehebu, linaongoza Kanisa Katoliki (27.0%), likifuatwa na Walutheri (19.5%).

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.