Papa Liberius

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Liberius

Papa Liberius alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Mei 352 hadi kifo chake tarehe 24 Septemba 366[1]. Alitokea Roma, Italia.

Thumb
Papa Liberius.

Alimfuata Papa Julius I akafuatwa na Papa Damaso I.

Alidhulumiwa na kaisari Konstans II, mtetezi wa Uario.

Liberius ni Papa wa kwanza ambaye haheshimiwi na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Hata hivyo Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki wanampa heshima hiyo.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti[2] au nyingine[3].

Maoni chanya ya Mapapa juu yake

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.