Oswadi wa York

From Wikipedia, the free encyclopedia

Oswadi wa York

Oswadi wa York (alifariki 29 Februari 992) alikuwa mmonaki kwanza kanoni, baadaye aliyepata kuwa askofu wa Worcester kuanzia mwaka 971 halafu wa York nchini Uingereza kuanzia mwaka 972 hadi kifo chake.

Thumb
Mt. Oswadi pamoja na Eadnoth katika mchoro mdogo.

Msomi mfurahivu na mpole, alichangia urekebisho wa Kanisa na wa umonaki kwa kuingiza kanuni ya Mt. Benedikto katika monasteri mengi.

Alifariki wakati wa kuwaosha miguu maskini kama ilivyokuwa kawaida yake wakati wa Kwaresima.

Tangu kale Paulinus anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1][2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.