Nuevo León

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nuevo León

Nuevo León (León mpya, ufalme wa kale katika Hispania) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa kaskazini-mashariki ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Monterrey.

Thumb
Bendera ya Nuevo León
Thumb
Mahali pa Nuevo León katika Mexiko

Imepakana na Coahuila, Tamaulipas na San Luis Potosí. Upande wa kaskazini kuna mpeka na Marekani (kilomita 15 pekee).

Jimbo lina wakazi wapatao 4,199,292 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 64,210.

Gavana wa jimbo ni Natividad González Parás.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa

  1. Monterrey (1,133,814)
  2. Guadalupe (691,931)
  3. San Nicolás de los Garza (476,761)
  4. Santa Catarina (259,896)
  5. San Pedro Garza García (122,009)


Thumb
Nyumba ya wizara katika Nuevo León

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nuevo León kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.