From Wikipedia, the free encyclopedia
Neli gunda (Nectarinia senegalensis) ni spishi ya ndege ya familia ya Nectariniidae. Anapatikana nchini Afrika Kusini, Angola, Benini, Botswana, Burkinafaso, Burundi, Chadi, Eritrea, Eswatini, Gambia, Ghana, Gine, Ginebisau, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kameruni, Kenya, Kodivaa, Malawi, Mali, Moritania, Msumbiji, Namibia, Nijeri, Nijeria, Rwanda, Senegali, Siera Leoni, Sudani, Tanzania, Togo, Uganda, Uhabeshi, Zambia na Zimbabwe.
Neli gunda | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Dume
Jike | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||
Nususpishi 6:
| ||||||||||||||||||
Msambao wa neli gunda | ||||||||||||||||||
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Neli gunda kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.