From Wikipedia, the free encyclopedia
Monterrey (montɛˈrei) ndiyo mji mkuu na mji mkubwa katika jimbo la Nuevo León nchini Meksiko. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 1,133,814 wanaoishi katika mji huu. Eneo lake ni 860.70 km².
Jiji la Monterrey | |
Nchi | Mexiko |
---|---|
Jimbo | Nuevo León |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,133,814 |
Tovuti: www.monterrey.gob.mx |
Ni mji muhimu wa biashara na viwanda.
Mji uliundwa mwaka 1596.
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Monterrey, Nuevo León kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.