Maulid Said Abdallah Mtulia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maulid Said Abdallah Mtulia ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CUF. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kinondoni kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.