From Wikipedia, the free encyclopedia
Lipidi (kwa Kiingereza lipid, kutoka Kigiriki λίπος, lípos, „mafuta“) ni kundi la molekuli ogania zinazojenga dutu kama mafuta, nta na sehemu ya vitamini.
Ni muhimu katika kemia ya viumbehai kwa sababu zinahifadhi nishati ndani ya seli za mwili, zinapitisha habari kati ya seli na kujenga utando wa seli.[1] Kwa hiyo ni sehemu muhimu ya chakula.
Zinapatikana kwa kula algae, mbegu wa mimea, nyama, jibini, siagi na samaki.
Wakati mwingine neno "lipidi" hutumiwa sasa na mafuta lakini hali halisi mafuta ni kundi la lipidi tu.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.