Lang Yangzhi
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lang Yangzhi (Lu, 1871 hivi - Lujiapo, 16 Julai 1900) alikuwa mwanamke mkatekumeni wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia pamoja na mtoto wake pekee, Paulo Lang Fu.
Kwa kuwa alijitambulishwa kama Mkristo, nyumba yake ilichomwa moto wao wakiwa ndani [1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[2].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.