From Wikipedia, the free encyclopedia
Kutangaza (kutoka kitenzi hicho hupatikana nomino tangazo) ni namna chama au kampuni inavyohamasisha watu wanunue bidhaa au huduma zao, lakini pia mawazo. Matangazo hujaribu kuvutia watu kwa kuonesha uzuri badala ya ubaya wa bidhaa zao.
Kwa kawaida huundwa na wakala wa matangazo kwa mdhamini, na kufanywa kwa vyombo vya habari. Matangazo hutangazwa kwenye runinga pia redio, magazeti, majarida na mabango mitaani na mijini.
Watangazaji hushawishi hisia kwa mbinu za kulenga watazamaji au wasikilizaji. Kwa mfano, kufanya mkate kuwa mtamu, unaweza kupakwa rangi za kumvutia mtazamaji.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.