From Wikipedia, the free encyclopedia
Kinara (kwa Kiing. candelabra) ni kifaa cha kusimamishia mishumaa ndani yake ili itumike kama taa [1]. Huwa na idadi ya matawi ambayo kila moja linabeba mshumaa mmoja. Siku hizi kuna pia vinara vyenye balbu ilhali umbo la kinara huchaguliwa kama pambo la nyumba.
Katika historia kulikuwa na vinara ambavyo mafuta badala ya mishumaa yanawaka. Kinara cha aina hiyo ni menorah ya Kiyahudi yenye matawi 7.
Vinara hujulikana kutoka tamaduni mbalimbali ya kale[2].
Jina la Kiswahili limetokana na mnara likiwa na maana ya "mnara mdogo".
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.