Kim Tae Jung
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kim Dae Jung (Kikorea: 김대중 金大中) (6 Januari 1925 - 18 Agosti 2009) alikuwa rais wa zamani wa nchi ya Korea Kusini. Mnamo mwaka wa 2000, amepata Tuzo ya Nobel ya Amani. Huyu ndiye mtu wa kwanza kutoka Korea kupata Tuzo ya Nobel.[1]. Yeye ni Mroma tangu mwaka wa 1957, alikuwa kiitwa "Nelson Mandela" wa Asia [2]. Kim Tae Jung alikuwa rais na aliyekuja kupokelewa na Kim Young-sam kuanzia mwaka wa 1998 hadi 2003. Alizaliwa mjini Haui-do, Mkoani South Jeolla, kisiwa kilichopo kwenye Pwani ya Korea Kusini.

Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.