Khalifa Mohammed Issa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Khalifa Mohammed Issa (amezaliwa 24 Novemba 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mtambwe kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.