Kanda ya Kusini, Malawi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kanda ya Kusini ni kanda ya kiutawala nchini Malawi.

Eneo lake ni la kilomita za mraba 31,753.
Makao makuu yako mjini Blantyre.
Mnamo 2018, idadi ya wakazi ilikuwa 7,750,629 [1].
Kati ya wilaya 28 nchini Malawi, 13 ziko ndani ya Mkoa wa Kusini. Nazo ni:
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads