Kanda ya Kusini, Malawi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kanda ya Kusini, Malawi

Kanda ya Kusini ni kanda ya kiutawala nchini Malawi.

Thumb
Eneo la kanda kusini nchini Malawi

Eneo lake ni la kilomita za mraba 31,753.

Makao makuu yako mjini Blantyre.

Mnamo 2018, idadi ya wakazi ilikuwa 7,750,629 [1].

Kati ya wilaya 28 nchini Malawi, 13 ziko ndani ya Mkoa wa Kusini. Nazo ni:

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.