From Wikipedia, the free encyclopedia
Kenya National Bureau of Statistics (kifupi: KNBS; Taasisi ya Kitaifa ya Takwimu ya Kenya) ni taasisi ya serikali ya Kenya iliyopewa kazi ya kutunza takwimu za nchi hii
Sheria ya Takwimu (Statistics Act 2006) inataja wajibu wake kama ifuatavyo:
KNBS ilitanguliwa na idara ya takwimu ya serikali. Sheria ya 2206 iliunda taasisi mpya yenye kiwango kikubwa cha madaraka ya kuendesha mambo yake bila kutegemea maagizo ya mara kwa mara kutoka serikalini.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.