Jovenale wa Narni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jovenale wa Narni (alifariki Narni, Umbria, 369/377) anakumbukwa kama askofu wa kwanza wa mji huo (Italia ya Kati)[1][2][3].

Inasemekana alikuwa na asili ya Afrika Kaskazini akapewa uaskofu na Papa Damaso I.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
