John Peter Kadutu

From Wikipedia, the free encyclopedia

John Peter Kadutu ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ulyankulu kwa miaka 20152020. [1]

Ameteuliwa na Bodi ya Wakurugenzi ya Singida Big Stars Football Club Ilihifadhiwa 1 Julai 2023 kwenye Wayback Machine. kuwa Kaimu Ofisi Mtendaji Mkuu (CEO) wa klabu yenye maskani yake mkoani Singida, Tanzania.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.