Zanzibar (Jiji)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zanzibar (Jiji)
Remove ads

Jiji la Zanzibar ni mji mkubwa wa kisiwa cha Unguja na mji mkuu wa Zanzibar.Pia ni wilaya katika Mkoa wa Unguja Mjini Magharibi wa Tanzania. Jiji lina wakazi 206,292 (sensa ya mwaka 2002).[1]

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Beit-al-Ajaib, yaani Jumba la Maajabu (1907).
Remove ads

Jina

Mji Mkongwe

Kitovu cha historia yake ni Mji Mkongwe (Stone Town) ulioandikishwa katika orodha ya UNESCO ya "Urithi wa Dunia" (World Heritage).

Nyumba za Mji Mkongwe zilijengwa tangu mwaka 1830 wakati Sultani Sayyid Said alipohamisha mji mkuu wake kutoka Omani kuja Unguja.

Kati ya majengo maarufu ni Beit al Ajaib (yaani Jumba la Maajabu lililobomoka tarehe 24 Desemba 2020[2]), boma la kale, Kanisa Kuu la Kianglikana lililojengwa mahali pa soko la watumwa na hasa nyumba nyingi za kihistoria za ghorofa zilizojengwa na famila za tabaka la matajiri Waarabu zenye milango yenye mapambo mazuri.

Mji Mkongwe unapokea watalii wengi kila mwaka.

Mji wa kisasa umekua sana ng'ambo ya Mji Mkongwe.

Remove ads

Tazama Pia

Picha


Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads