From Wikipedia, the free encyclopedia
Taarifa (kutoka neno la Kiarabu) ni habari maalumu inayowasilishwa ama kwa mdomo ama kwa maandishi.
Pia ni takwimu zilizochakatwa ambazo zina maana kamili inayoweza kutumika katika kufanya maamuzi fulani.
Mfano:
Taarifa hutofautiana kulingana na muktadha kama ilivyo kwa takwimu.
Taarifa ya habari ni wasilisho la maelezo ya tukio au hali maalumu kwa jamii nzima linalopitia njia yoyote: redio, gazeti, runinga, mbiu au mikutano.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.