Wilaya ya Ileje ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Songwe; hadi 2016 ilikuwa sehemu ya Mkoa wa Mbeya.
Wilaya hii imepakana na nchi ya Malawi na inatenganishwa nayo na mto Songwe.
Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 124,450 . Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 125,869 [1].
Wenyeji wa Ileje ni wenye asili ya makabila matatu, yaani Wandali, Walambya na Wamalila (Ibaba, Itale).
Kama ilivyo kwa mkoa mzima, Ileje kuna wafuasi wengi wa dini ya Ukristo na wachache wa Uislamu.
Wilaya hii ina kata zifuatazo:
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.