Hades
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hades (Kigiriki cha Kale: ᾍδης, Hadēs; kutoka Ἅιδης, Haidēs au Άΐδης, Aidēs; Kidoriki: Ἀΐδας, Aidas) ni mungu wa kuzimu na bwana wa waliokufa katika mitholojia ya Kigiriki. Analingana na Pluto katika dini ya Roma ya Kale.[1]
Hades | |
---|---|
Sanamu ya Hade na mbwa mwenye vichwa vitatu Serbero | |
Mfalme wa Kuzimu Mungu wa Waliokufa | |
Makao | Kuzimu |
Alama | Serbero, Helmeti ya Giza, Muhuhu, Narsisi, Ufunguo wa Hade |
Mwenzi | Persefona |
Wazazi | Krono na Rea |
Ndugu | Poseidoni, Demetra, Hestia, Hera na Zeu |
Watoto | Makaria, Melinoe, Zagreo na Plutu |
Ulinganifu wa Kirumi | Pluto, Dis Pater, Orcus |
Ulinganifu wa Kietruski | Aita |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.