From Wikipedia, the free encyclopedia
Genova ni mji wa Italia katika mkoa wa Liguria. Ndiyo makao makuu ya mkoa. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 610,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 20 juu ya usawa wa bahari.
Genova | |
Majiranukta: 44°24′20″N 8°55′58″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Liguria |
Wilaya | Genova |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 610,741 |
Tovuti: www.comune.genova.it |
Sehemu ya mji imo katika orodha ya urithi wa dunia wa UNESCO.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.