Flatei Gregory Massay

From Wikipedia, the free encyclopedia

Flatei Gregory Massay (alizaliwa 1 Novemba 1972[1]) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbulu Vijijini kwa miaka mitano (20152020) [2].

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.