Ester Amos Bulaya
Mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Ester Amos Bulaya (amezaliwa tarehe 3 Machi 1980) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Bunda kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.