Ester Amos Bulaya

Mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Ester Amos Bulaya (amezaliwa tarehe 3 Machi 1980) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Bunda kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.