Eneo bunge la Kiharu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eneo bunge la Kiharu

Eneo bunge la Kiharu (zamani liliitwa Mbiri) ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo saba ya Kaunti ya Murang'a. Mji wa Murang'a unapatikana ndani ya eneo bunge hilo.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.