From Wikipedia, the free encyclopedia
Eneo bunge la Kiharu (zamani liliitwa Mbiri) ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo saba ya Kaunti ya Murang'a. Mji wa Murang'a unapatikana ndani ya eneo bunge hilo.
Jamhuri ya Kenya |
![]() Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.