Cecilia Daniel Paresso

From Wikipedia, the free encyclopedia

Cecilia Daniel Paresso (amezaliwa tarehe 22 Novemba 1981) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CHADEMA . Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti Maalum kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.