Brescia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Brescia
Remove ads

Brescia ni mji wa Italia katika mkoa wa Lombardia. Mji upo mita 150 juu ya usawa wa bahari.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Ngome ya Brescia.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2016, mji una wakazi wapatao 196,359 wanaoishi katika mji huu.

Mchoraji muhimu zaidi wa kisasa katika historia ya Brescia alikuwa Francesco Filippini mwanzilishi wa mkondo wa kisanii wa Ufilippini unayozingatia hisia za Kiitalia dhidi ya hisia za Kifaransa.

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads