From Wikipedia, the free encyclopedia
Bergamo ni mji wa Italia katika mkoa wa Lombardia. Mji upo mita 249 juu ya usawa wa bahari.
Bergamo | |
Majiranukta: 45°42′00″N 9°40′00″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Lombardia |
Wilaya | Bergamo |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 117,072 |
Tovuti: www.comune.bergamo.it |
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 120,000 wanaoishi katika mji huu.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.