From Wikipedia, the free encyclopedia
Bangalore ni jina la mji mkuu wa jimbo la Karnataka katika Uhindi. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 6 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 920 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Jiji la Bangalore | |
Mahali pa mji wa Bangalore katika Uhindi |
|
Majiranukta: 12°58′0″N 77°34′0″E | |
Nchi | Uhindi |
---|---|
Jimbo | Karnataka |
Wilaya | Bangalore Mjini (Bangalore Urban) |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 5,840,155 |
Tovuti: www.bbmp.gov.in |
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Bangalore kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.