From Wikipedia, the free encyclopedia
Bahari ya Solomon ni sehemu ya Bahari Pasifiki iliyopo kati ya Papua Guinea Mpya na Visiwa vya Solomon.
Bahari ya Solomon inajumuisha mfereji wa New Britain unaofikia kina cha zaidi ya mita 9,140 chini ya usawa wa bahari. [1]
Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia yalitokea mapigano mengi katika sehemu hiyo.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.