Adadi Mohamed Rajabu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Adadi Mohamed Rajabu (amezaliwa 20 Januari 1955) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Muheza kwa miaka 2015 – 2020. [1] [2]
Ni Mwenyekiti wa Kamati ya mambo ya ndani, ulinzi na usalama wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.