Ziwa la Nasser
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ziwa la Nasser (kwa Kiarabu بحيرة ناصر, buhairat nāssir) ni bwawa kubwa kwenye mto Nile lililopatikana tangu kufungwa kwa mwendo wa Nile kwa lambo la Aswan nchini Misri kuanzia mwaka 1958.
Ukweli wa haraka Lake Nasser, Anwani ya kijiografia ...
Lake Nasser | |
---|---|
Ramani inayoonyesha eneo la ziwa | |
Anwani ya kijiografia | 22°25′N 31°45′E |
Aina ya ziwa | Kiegezo |
Mito ya kuingia | Nile |
Mito ya kutoka | Nile |
Nchi za beseni | Egypt, Sudan |
Urefu | km 550 (mi 340) |
Upana | km 35 (mi 22) |
Eneo la maji | km2 5 250 (sq mi 2 030) |
Kina cha wastani | m 25.2 (ft 83) |
Kina kikubwa | m 180 (ft 590) |
Mjao | km3 132 ([convert: unit mismatch])[1] |
Urefu wa pwani (km) | km 7 844 (ft 25 735 000) |
Kimo cha uso wa maji juu ya UB | m 183 (ft 600) |
Marejeo | [1] |
1 Shore urefu is not a well-defined measure. |
Funga
Ziwa Nasser liko katika eneo la nchi za Misri na Sudan, hasa kati ya miji ya Aswan (Misri) na Wadi Halfa (Sudan). Eneo lake ni zaidi ya km² 5,200, lina urefu wa kilomita 550 na upana hadi km 35. Mjao hufikia hadi km³ 160.
Jina lilitolewa kwa heshima ya aliyekuwa rais wa Misri Gamal Abdel Nasser aliyefanya azimio la kujenga bwawa.