![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c4/Barents.jpg/640px-Barents.jpg&w=640&q=50)
Willem Barents
From Wikipedia, the free encyclopedia
Willem Barents (au Barentsz, labda kutoka Barentzoon, mwana wa Barent; Terschelling, mnamo mwaka 1550 - 20 Juni 1597) alikuwa baharia na mpelelezi kutoka nchini Uholanzi.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/c4/Barents.jpg/640px-Barents.jpg)
Ukweli wa haraka
Willem Barentsz |
---|
Funga
Barents anakumbukwa kama mgunduzi wa visiwa vya Spitsbergern (Svalbard). Alilenga kukuta njia ya kufika katika Bahari Pasifiki kupitia bahari ya Aktiki.
Bahari ya Barents [1] na mji wa Barentsburg vilipokea jina lake.