Wilaya ya Cote d'Ivoire From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Zoukougbeu (kwa Kifaransa: département de Zoukougbeu) ni moja kati ya Wilaya nne za Mkoa wa Haut-Sassandra ulioko Magharibi mwa Cote d'Ivoire.
auto
Wilaya ya Zoukougbeu | |
Eneo la Wilaya ya Zoukougbeu. | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Sassandra-Marahoué |
Mkoa | Haut-Sassandra |
Serikali[1] | |
- Prefect | Bilé Mariame Kouao |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 110,514 |
GMT | (UTC+0) |
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 110,514.
Makao makuu ya eneo hilo ni Zoukougbeu.
Wilaya ya Zoukougbeu sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.