![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Tanzania_Temeke_location_map.svg/langsw-640px-Tanzania_Temeke_location_map.svg.png&w=640&q=50)
Wilaya ya Temeke
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Temeke ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania yenye postikodi namba 15000.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/80/Tanzania_Temeke_location_map.svg/250px-Tanzania_Temeke_location_map.svg.png)
Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 1,368,881 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 1,346,674 [2].