![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/2f/Tanzania_Mbeya_Vijijini_location_map.svg/langsw-640px-Tanzania_Mbeya_Vijijini_location_map.svg.png&w=640&q=50)
Wilaya ya Mbeya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Mbeya ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Mbeya.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/2f/Tanzania_Mbeya_Vijijini_location_map.svg/250px-Tanzania_Mbeya_Vijijini_location_map.svg.png)
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 254,897 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 371,259 [2].