From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Kondoa Mjini ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41700[1]. Mnamo mwaka 2015 maeneo ya Dodoma Mjini ndipo yalipotengwa kuwa halmashauri ya pekee kutoka Wilaya ya Kondoa).
Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Kondoa mjini. Mnamo mwaka 2015, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kondoa Mjini ilihesabiwa kuwa 64,147. [2] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 80,443 [3].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.