Wilaya ya Dabakala
Wilaya ya Cote d'Ivoire / From Wikipedia, the free encyclopedia
Wilaya ya Dabakala (kwa Kifaransa: département de Dabakala) ni moja kati ya Wilaya tatu za Mkoa wa Hambol ulioko katikati mwa Cote d'Ivoire.
auto
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Wilaya ya Dabakala | |
Eneo la Wilaya ya Dabakala. | |
Nchi | Cote d'Ivoire |
---|---|
Jimbo | Vallée du Bandama |
Mkoa | Hambol |
Serikali[1] | |
- Prefect | Yao Lazaré N'Dri |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 189,254 |
GMT | (UTC+0) |
Funga
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 189,254.
Makao makuu ya eneo hilo ni Dabakala.
Wilaya ya Dabakala sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo: